Tubonge Lyrics by Jose Chameleone


Tubonge, Chameleone naomba
Tubonge
Mungu Baba, We long ye'
Gospel time now... ooh Lord
Nina wewe wa kweli
Katika wote ninae ni wewe
Anae nipenda kamili
Bila kipimo unanipenda hakuna kiasi
Ningependa nikuone nikupe
Vyote vyangu, nikupe chochote
Unachotaka chochote upate
Lakini sina namna ya ku kupata
Ungekua na faasi una ishi
Ata ingekua mbali vipi
Ningekuja nikuone wewe
Ungekua na nambari ya simu facebook au twitter
Lakini hata sura yo uli ificha!
Njoo, nimesubiri sana lini tutaonana
Njoo, I don't know what to do, to do
Am waiting for you
Njoo, nimesubiri sana lini tutaonana
Njoo, rafiki wa kweli, rafiki mileli kweli
Huu rafiki yangu nimempa sasa tuzo
Ana siri zangu nyingi siogopi mateso
Hao wabishi hawanitishi na mawazo
Ninae, Ninae...
Mlinzi wangu sasa mi sitaki fujo
Nikiwa nae siogopi vya devil
Paddy man ongeza bass na treble
Nimtaje kama ninaimba tangazo
Ungekua na faasi una ishi
Ata ingekua mbali vipi
Ningekuja nikuone wewe
Ungekua na nambari ya simu facebook au twitter
Lakini hata sura yo uli ificha
Njoo, nimesubiri sana lini tutaonana
Njoo, I don't know what to do, to do
Am waiting for you
Njoo, nimesubiri sana lini tutaonana
Njoo, rafiki wa kweli, rafiki mileli kweli
Tubonge, Chameleone naomba
Tubonge
Mungu Baba, We long ye'
Gospel time now... ooh Lord
Njoo nikupe chochote unataka
Hatujakutana mi nakufuata
Njo nikukaribishe kwangu
Njo nikupikie chakula tamu
Naomba nikuonyeshe na watoto wangu
Njo nikuonyeshe baba na mama wangu
Nikuonyeshe marafiki zangu
Nami, na moyo wangu
Ungekua na faasi una ishi
Ata ingekua mbali vipi
Ningekuja nikuone wewe
Ungekua na nambari ya simu facebook au twitter
Lakini hata sura yo ulificha
Njoo, nimesubiri sana lini tutaonana
Njoo, I don't know what to do, to do
Am waiting for you
Njoo, nimesubiri sana lini tutaonana
Njoo, rafiki wa kweli, rafiki mileli kweli
Njoo, nimesubiri sana lini tutaonana
Njoo, I don't know what to do, to do
Am waiting for you
Njoo, nimesubiri sana lini tutaonana
Njoo, rafiki wa kweli, rafiki mileli kweli