Inabana Lyrics by Eddy Kenzo


Kushoto, Kulia
Seven Drop That Sh...
Wuwuwuwu
Oh No!
This Is Serious
Chris Bonga Kenzo
Na Konde Boy
Kapata bana ama
Abataka napatana
Ati nabati napeta na
Ama Amataka
Eey
Baby I wanna feel your vibe tonight
(Vibe oh ooh)
I know you gonna feel my vibe tonight
Kwanza kako simple simple
Hakanaga makuu
Kana vidimple dimple
Huko nyuma kichuguu
Aki, kako simple simple
Hakanaga makuu
Kana vidimple dimple
Huko nyuma kichuguu
Hiyo nguo kama naiona, naiona
Kwa taabu inavyoingia
Fundi kakosea kushona, kushona
Hata kichwa hakiwezi ingia
Inabana
(Na na na)
Sema tena inabana
(Na na)
Inabana
(Na na na)
Wote inabana
(Na na)
Ya
Inabana
Kimyanso
Lutemya lwa liiso
Needle, oba kikwanso
Rambo, talina bigambo
Anjagaza lo
Ambererawo
Inabana tight nyo (nyo)
Baby style yo nkwafu nyo
Girl I wanna puch you gat your love oh
Knock knock knock knock out oh
Put your body on me go down low
Let me say, eh
Let me say, yo
Tuzirinye Kirimanjaro
Kuntiko ffe tubeereyo
Girl I want you in my life oh
What you want baby just say so
Kiswahili Kiganda nalo
Eddy Kenzo Harmonize
Inabana
(Na na na)
Sema tena inabana
(Na na)
Inabana
(Na na na)
Wote inabana
(Na na)
Ya
Inabana
Shake it bobo
Biri bara bo
Ah baby wange oli Panadol
Ah shake it bobo
Biri bara bo
Konde boy
Only you baby I no go cheat
Sinaga muda na ma side chic
Nitakupa vitam tena zaidi ya pipi
Wanaulizana nimekupata vipi?
Aaa
Wulira!
He he